
Akiapa kuchukua jukumu hilo la kuwa Rais wa 44 wa Marekani Obama alisema matatizo ya Uchumi na vita vya Afghanistan na Iraq ni mambo yake muhimu ya kwanza kuanza kuyafanyika kazi
Wakati hayo yakiendelea mjini Washington DC sherehe za zilikuwa zikiendelea katika baadhi ya mitaa ya mjii huo
No comments:
Post a Comment