

Kaka amewashangaza wapenda soka wengi Duniani kwa kukata mapesa mengi ya waarabu waliotaka ajiunge na timu yao kwa kiwango kikubwa cha pesa na angeweka rekodi ya Dunia ya ada ya uhamisho lakini kijana huyo toka Amerika Kusini anakata mabilioni ya waarabu hao na kusema ataendelea kuichezea timu hiyo ya Italia
Sasa swali kwa wchezaji wa kibongo wangeweza kukata hizo pesa kama alivyofanya Kaka? lakini hata mimi ninge.... si unajua tena LIFE yetu ya kibongo sasa jibu unalo
Kila la heli Ricardo Kaka na maamuzi yako yaheshimiwe
No comments:
Post a Comment