Monday 31 March 2008

Baadhi ya Wana TBC wakiwa katika sherehe ya Uzinduzi ya TBC

Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji Tanzania(TBC) wakiwa wamevaa sare katika shereshe ya uzinduzi wa shirika hilo hapo March 26/ 2008, katika viwanja vya TBC 1 jijini Dar Es Salaam , kutoka kushoto Lusajo Mwakabuku(Mtangazaji- TBC International) Chriss Mfinanga(Camera Man TBC 1) Cliford Ndimbo , Baruani Muhuza na Evance Mhando ( Mr Names ) wote ni watangazaji na waandishi wa habari TBC

Saturday 29 March 2008

MAMBO YA UZINDUZI WA TBC

Hayo ni mambo ya Uzinduzi wa Shirika la Utangzaji Tanzania (TBC) mambo hayo yalifanyika kwenye viwanja vya TBC1 zamani TVT,unaowaona hapo kutoka kushoto ni Judica Losai, Lusajo Mwakabuku,Evance Mhando , Cliford Ndimbo na Baruani Muhuza wote niwafanyakazi wa TBC