Tuesday 29 April 2008

Simba hoi kuichunglia michuano ta Kimataifa == Prisons hiyo == kukwa pipa

Timu ya Simba imekosa nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa mwakani baada ya kushika nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi kuu Tanzania bara katika msimu wa 2007 - 2008
Inakuwa adimu mno kwa soka la Tanzania kuzishuhidia timu za Simba na Yanga kukosa nafasi hiyo lakini hiyo imewezekana msimu huu kwamaana timu ya Prisons ilionyesha inataka nafasi hiyo toka kuanza kwa michuano hiyo Septemba 2007
Katika michezo ya mwisho la ligi hiyo Yanga ilitoka sare ya bila kufungana na watani wao wa jadi timu ya Simba huku Tanzania Prisons ikiifunga Polisi Morogoro kwa bao 1-0 lilotiwa kimiani na Mshambuliaji Shaaban Mtupa
`` Ninafuraha sana kuona timu yangau ya Prisona ikifanikiwa kushiriki michuano ya kimataifa (Kmbe la Shirikisho barani Africa) lakini hiyo haikiwa nia yetu tulitaka kuwa mabigwa wa mwaka huu hapa nchini'' amenena Mtupa
HONGERA SANA YANGA PAMOJA NA PRISONS