Friday 18 December 2009

Hayo ndio mafunzo ya FIFA

Wapiga picha wakiwa na mwalimu wao Erick toka Ufaransa baada ya kumalizika mpira.
Sawa kaka leteni picha zenye kiwango ... hayo ndio mambo ya FIFA ... huyo ni mpira picha wa TBC1 Samwel Mshana akiwa na mwenzie Nicholaus Mbaga.

aaahhh kaka Jacob Mani lete vitu..... unatisha
Wapiga picha wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wakipiga picha wakati wa mafuzo ya vitendo ya kupiga picha za mpira wakati timu ya Simba ikicheza na timu ya SOFA PAKA ya Kenya kwenye michuano ya kombe la Tusker.
Wapiga picha hao pamoja na watangazaji wa mpira wa Radio na TV na wasimamizi wa Matangazo toka TBC na Chanel Ten wanapata mafuzo ya wiki moja yaliyoandaliwa na shirikisho la la soka Dunia (FIFA) jinsi ya kupiga picha na kutanga mpira pamoja na jinsi ya kusimamia na kuendesha matangazo ya moja kwa moja yaan LIVE ya mpira wa miguu.


No comments: