
Akizungumza na waandishi wa habari meneja wa MAWASILIANO wa benki ya NMB, JOSEPHINE KULWA, amesema kuwa benki hiyo inaendelea na mchakato wake wa kutoa nafasi kwa wateja wa benki hiyo kwenda kushuhudia michuano hiyo.
KULWA amesema benki hiyo itaendelea kutoa zawadi mbalimbali katika bahati nasibu hiyo ambayo itafanyika tena wiki ijayo,Jumla ya washindi watano wanatarajia kufaidika na bahati nasibu hiyo ya benki ya NMB kwenda Ivory Coast kuishangilia Taifa Stars
No comments:
Post a Comment