Wednesday 18 February 2009

Maembe anatisha


Vitali Maembe ni mwanamuziki wa Kitanzania anaeimba kwa hisia sana na sasa naambiwa hayupo hapa nchini ameenda nchini Norway ambako anafanya kazi ya kufundisha Muziki na lugha ya Kiswahili
Aliwika sana katika wimbo wake wa Sumu ya Teja lakini pia ana nyimbo nyingi kama vile Uwanja wa Taifa ambao aliuimba maalum kwa uwanja mpya wa taifa uliokabidhiwa hivi karibuni kwaTanzania na serikali ya China na zingine ni pamoja na Kiombwe, Africa shilingi tano
Mungu akubariki huko uliko kwa kila ulifanyalo

No comments: