
Katika mkutano huo MADEGA alisema waliwasiliana na timu ya LOV HAM ya nchini NOYWAY inayotaka kumnunua kiungo mshammbuliaji wa timu hiyo ila hawajajibiwa hadi sasa na kusema katika email waliyoitumia timu hiyo waliiambia Mrisho Ngasa wanamuuza kwa dolla laki moja za Marekani ( $10,0000) sawa na zaidi ya milioni 100 za Kitanzania
No comments:
Post a Comment